Attachment: Job-Advert-October-2016
Monday, 31 October 2016
EWURA has the following vacancies
Attachment: Job-Advert-October-2016
Wednesday, 26 October 2016
OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU(NBS) YATOA MCHANGO KWA AJIRI WAASILIKA WA TETEMEKO MKOANI KAGERA
Mratibu wa utafiti wa viashiria na matokeo ya UKIMWI Tanzania wa mwaka 2016. Bi Marium Kitembe akimukabidhi Waziri wa afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu kiasi cha shilingi milion moja na laki sita(1,600,000) zilizochangwa kwa wadadisi wa utafiti huo kwa ajiri ya waasilika wa tetemeko lililotokea Mkoani Kagera hivi karibuni. Mh Ummy mwalimu amekabidhiwa fedha hizo wakati wa hafla fupi ya kufunga mafunzo ya utafiti huo mkoani Dodoma










